Nothing affirms our belonging as kenyans this Madaraka day as the song Daima Mkenya – by Eric Wainaina . Though created years ago, the message resonates with us on a daily basis and so much so on this special day as we celebrate the freedom that our fore-fathers so vehemently fought for; releasing us from the clutch of colonialism.
Verse 1
Umoja ni fahari yetu
Undugu ndio nguvu
Chuki na ukabila
Hatutaki hata kamwe
Lazima tuungane, tuijenge nchi yetu
Pasiwe hata mmoja
Anaetenganisha
Chorus
Naishi, Natumaini,
Najitolea daima Kenya,
Hakika ya bendera
Ni uthabiti wangu
Nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
Kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
Daima mimi mkenya
Mwananchi mzalendo
Verse 2
Kwa uchungu na mateso
Kwa vilio na uzuni
Tulinyakuliwa Uhuru
na mashujaa wa zamani
Hawakushtushwa na risasi
au kufungwa gerezani
Nia yao ukombozi kuvunja pingu za ukoloni
Chorus
Naishi, Natumaini,
Najitolea daima Kenya,
Hakika ya bendera
Ni uthabiti wangu
Nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
Kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
Daima mimi mkenya
Mwananchi mzalendo
Verse 3
Wajibu wetu
Ni Kuishi kwa upendo
Kutoka ziwa Mpaka pwani
Kaskazini na kusini
Chorus
Naishi, Natumaini,
Najitolea daima Kenya,
Hakika ya bendera
Ni uthabiti wangu
Nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
Kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
Daima mimi mkenya
Mwananchi mzalendo
What is Madaraka day?
Madaraka Day, 1 June, commemorates the day that Kenya attained internal self-rule in 1963, preceding full independence from the United Kingdom on 12 December 1963.
June 1, 1963, Jomo Kenyatta became prime minister of the newly-formed autonomous Kenyan government, seeking final reconciliation with the former British settlers. The country officially gained it’s independence on December 12, 1963.
HAPPY MADARAKA DAY – ” DAIMA MIMI MKENYA ”